Baada ya ile story kuwa mwadada amanda poshy anatumia vidonge vya ARV (vya kuongeza siku za kuishi) mwanadada ameamua kuudhihirishia umma kwa kuonyesha majibu ya vipimo vya ngoma na ile
habari ilikuwa inalengo la kumchafua kwa jamii baada ya kupima na kuweka majibu hadharani kwenye mtandao mmoja wa kijamii.
katika picha hiyo mwanadada huyo aliandika kuwa ni vizuri kuvheki afya yako mara kwa mara
picha iliyokuwa ikionyesha majibu hayo ya ngoma mwanadada huyo yupo HIV NEGATIVE
picha iliyokuwa ikionyesha majibu hayo ya ngoma mwanadada huyo yupo HIV NEGATIVE
0 comments:
Post a Comment