Habari ilitufikia hivi punde Ajali mbaya imetokea katika kijiji cha samuye mkoani shinyanga basi la uniq express lenye
namba za usajili T 148 BKK limegongana na gari la kampuni ya cocacola watu 10 wamepoteza maisha na wengine hamsini wamejeruhiwa majeruhi wamekimbizwa katika hospital ya mkoa shinyanga.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment