Mchekeshaji maarufu Bongo, Joseph Senga ‘Senga’ amefunguka kuwa busu alilompiga staa wa kike wa filamu, Kajala Masanja lilimfanya alale usingizi mnono sana ukizingatia kuwahajawahi kubusu shavu laini kiasi hicho kwasababu
warembo wengi wanazingua.Akizungumza na Centre Spread, Senga alisema alipatafursa hiyo ya kumpiga busu wakati wakiigiza filamu matata ya Pishu iliyoandaliwana Kajala Entertainment, itakayoingia sokoni Mei Mosi,ambapo alisema anajikubali katika filamu hiyo ambayo anaamini itavunja watu mbavu.“Wewewee umpige busu Kajala utashindwa kulala kweli jamani,yaani nilishtuka kumeshakucha kabisa lakini pamoja na yote mimi ni mchekeshaji ila kwa filamu yaPishu nimeinua mikono,”alisema Senga.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment