ads slot

Latest Posts:

DAKTARI AMZUIA AUNT EZEKIEL KWENDA KUJIFUNGULIA MAREKANI

Ndoto za mwigizaji maarufu na mrembo wa bongobmuvi  ndoto za kwenda kujifungulia marekani zimefika ukingoni baada ya daktari wake kumwambia kuwa kwa miezi hii ulipofikia
umechelewa hauwezi kusafiri kwa usafiri wa ndege kwani ni hatari.
kitaalam mimba ikifika zaidi ya miezi saba ni hatari kusafiri kwa ndege kwani inaweza kupelekea presha ya mama kushuka kutoka  na kubadilika kwa hewa ndege ikiwa angani...hivyo mashirika ya ndege yanautaratibu wao wa kuwazuia wa
miezi hiyo bila ruhusa ya daktari
aunt alikuwa amepanga kujifunguria marekani na alikuwa ameshajipanga kwa safari hiyo.
kama bado hujajiunga nami facebook clik hapa>>>Mtaani Magazine
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment