kufuatia kile kinachoendelea south afrika na liletamko la waziri wa mambo ya nje wa tanzania,
staa wa bongo muvi nice mohamedi maarufu kama mtunis ameandika katika ukurasa wake wa internet haya
staa wa bongo muvi nice mohamedi maarufu kama mtunis ameandika katika ukurasa wake wa internet haya
haya wale wenzangu na mimi mliokaa sana SOUTH AFRIKA na kujikuta hata nauli ya kurudia huna mbaya zaidi huna hata sababu ya kujitetea umekaa miaka yote huna ulichokifanya
haya mungu kashusha neema yake ni kitendo cha kwenda pale kwenye kambi ya watakaorudishwa nyumbani
haya mungu kashusha neema yake ni kitendo cha kwenda pale kwenye kambi ya watakaorudishwa nyumbani
na ukifika huku cha kutujibu ni rahisi tu kuwa vitu vyako vyote vimechukuliwa na wenyeji kesi imeisha
KARIBUNI NYUMBANI.
0 comments:
Post a Comment