hivi karibuni anadaiwa kumvisha pete msichana mmoja anaedaiwa kuwa ni
vijana hao walitiwa nguvuni na polisi baada ya kuvamia na kumpora fedha raia mmoja wa kigeni maeneo ya kinondoni jijini dar es salaam, baada ya tukio hilo walifanikiwa kukimbia na gari lao lakini kuna msamaria mwema aliwaona na kuanza kufukuzana nao kwa kutumia gari lake
alifanikiwa kuwapita na kuwazuia kwa mbele askari wakafika na kuwaweka chini ya ulinzi.
alifanikiwa kuwapita na kuwazuia kwa mbele askari wakafika na kuwaweka chini ya ulinzi.
vijana hao watanashati ni vigumu kuwadhania kuwa wanaweza kujihusisha na ujambazi walikutwa na bunduki mbili.
0 comments:
Post a Comment