Siku nilipokuwa nasafiri air port niliingizwa katika chumba flani pale air port na kupewa onyo kuhusu madawa ya kulevya na wakaniambia kuwa hata jack walimpa onyo kama walivyonipa
mimi matokeo yake ikiwa ndio safari ya mwisho jack alikamatwa na hata nilipofika safari yangu huko HK pia walinishuku hii inaonyesha wazi kuwa hii biashara imekuwa kubwa huku Tanzania ,maana kila unapopita unashukiwa mimi huwa inanitokea mara kwa mara na ilishawahi kusachiwa sana china mpaka wakanipiga X-RAY.Na sio madawa tu na wizi na vimambo vingine vya kupuuzi ambavyo vinatusumbua sisi raia wema. alitoa ushuhuda huwo FAIZA ALLY
JE UNAHITAJI STORY ZOTE ZA MJINI LIKE FESIBUKU PAGE KWA KUCLIK HAPA>>>MTAANI MAGAZINE

0 comments:
Post a Comment