ads slot

Latest Posts:

HII NI AJALI YA 9 KWA WASTARA AELEZA ILIVYOKUWA CHEKI HAPA>>>

Staa wa bongo muvi wastara juma amepata ajali siku ya jumapili maeneo ya tabata magengeni akitokea mwananyamala alipokuwa
anaongea na wasanii wenzake
wastara anasema siku hiyo gari yake aina ya toyota canal alikuwa anaendesha meneja wake bond bin sinan  walipofika maeneo ya tabata magengeni bond anafunga break kwa ghafla gari likaanza kuzunguuka nami nikawa najigonga gonga kwenye gari kwasababu sijafunga mkanda
mimi nilikuwa sielewi nilikuwa naona gari linazunguuka ikabidi nishuke kuokoa maisha yangu  ndio bond akashuka na kuanza kunikimbiza hata hivyo walinzi wa bar moja ya jilani walinikamata hadi bondi alipofika  nirudishwa kwenye gari nikiwa nimeumia maeneo ya kichwani
kwenye ajali wastara aliumia kidogo maeneo ya usoni na kupata maumivi kichwani kwasababu alijigonga sana
ila kwasasa anaendelea vizuri.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment