ads slot

Latest Posts:

MWANAFUNZI WA DARASA LA NNE AJINYONGA CHUMBANI

mwanafunzi wa shule ya msingi pugu dar es salaam, Festo filberb (11) amekutwa chumbani kwake anapolala amejinyonga hadi kufa
kwa kutumia
mkanda wake wa kuvalia suruali
kamanda wa polisi mkoa wa kipolisi ilala marry nzuki alisema tukio hilo lilitokea jana  katika eneo la majohe kwa ngozama
alisema sababu za kujinyonga mtoto huyo bado hazijajulikana kwani hajaacha ujumbe wowote
mtoto huyu alikutwa chumbani kwake anakolala akiwa peke yake hakuna aliyejua sababu za kifo chake. alisema
alisema maiti ya mtoto huyo imehifadhiwa katika hospitali ya amana na polisi wanaendelea na uchunguzi wa tukio hilo
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment