SERIKALI ya Marekani imetangaza kufunga ubalozi wake wa mjini Bujumbura, nchini Burundi kutokana na kuendelea machafuko yanayohatarisha usalama nchini humo.
Kwa mujibu wa Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani, Jeff Rathke ubalozi huo utaendelea kutoa huduma za dharura kwa raia wake katika kipindi cha kufungwa kwake nchini Burundi.
0 comments:
Post a Comment