HARAKATI ya Jumuiya ya Waislamu nchini Misri ya imeutaka ulimwengu wa Kiislamu na wa Kiarabu kuchukua hatua za pamoja za kupambana na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
Taarifa ya harakati hiyo imetolewa kwa mnasaba wa kumbukumbu za kukaliwa kwa mabavu ardhi za Palestina, 'Nakbat' ambapo imesisitizia umoja na mshikamano katika kupambana na utawala huo.
0 comments:
Post a Comment