TAASISI ya Osama Siblani, inayosimamiwa na Wamarekani wenye asili ya Kiarabu, imesema kuwa Askari Polisi wa Marekani wa FBI wanawakandamiza Waislamu wa nchi hiyo.
Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika Taasisi hiyo, Askari hao Polisi, wanawakandamiza Waislamu kupitia kushadidisha ujasusi dhidi ya jamii yao hasa katika mitandao ya Intaneti.
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment