ZAIDI ya Wanafunzi 80 wa Chuo cha Wakala wa Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo nchini LITA Kampasi ya Morogoro wameendelea na Mgomo kufuatia Wanafunzi hao kudai kutolewa vyeti Viwili kwa ngazi ya Diploma
Wakizungumza na waandishi wa habari Baadhi ya Wanafunzi wa Mwaka wa Pili wametaka kupewa Vyeti viwili badala ya Kimoja jambo ambalo linawapa changamoto kubwa katika kupata ajira.
Kwa upande wake Mwakilishi Mtendaji Mkuu wa LITA amesema kuwa Chuo hicho kitatoa cheti kimoja kama Mkataba unavyoeleza.
0 comments:
Post a Comment