MADIWANI wa Halmashauri ya Hanang Mkoani Manyara wamegoma kuendelea na Kikao badala ya Ofisi ya Mkurugenzi kutowasilisha taarifa ya upotevu wa fedha zaidi ya shilingi milioni 280
Madiwani hao wamechukua uamuzi wa kuondoka katika Kikao hicho badala ya Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Anju Mang'ola kusema kuwa taarifa za Fedha hizo za Maendeleo ya shule hazijakamilika.
Wakizungumza mara baada ya kugoma baadhi ya Madiwani hao wamesema kuwa hawatoshiriki katika kikao hicho baada ya kuwepo kwa udanganyifu kwa Viongozi hao.
0 comments:
Post a Comment